Mwananchi Digital
Mwananchi Digital
  • Видео 35 745
  • Просмотров 168 405 920
Simulizi nzito maisha halisi ya Mandonga | Afunguka mkasa aliokumbana nao ndani ya Ndege | Utajiri !
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #cham...
Просмотров: 8

Видео

Mjane aliyedhulumiwa mali zake akabidhiwa nyumba ya kuishi
Просмотров 77511 часов назад
Mjane aliyedhulumiwa mali zake akabidhiwa nyumba ya kuishi
Mafuriko Morogoro! Mamia washindwa kusafiri, maji yatanda kila kona
Просмотров 8 тыс.11 часов назад
Mvua kubwa ambayo imenyesha kwa zaidi ya saa 12 wilayani Kilombero mkoani Morogoro imesababisha adha kwa wananchi wa Ifakara baada ya maji kujaa na kusababisha mafuriko, maji yanapita juu ya barabara, na abiria wanavushwa kwa kamba maalumu. Mkuu wa wilaya ya Kilombero Dunstan Kyobya akizungumza na Mwananchi Digital leo Mei 5, 2024 amesema tangu ahamie katika wilaya hiyo haya ndiyo mafuriko maku...
KINANA AVAWAVAA CHADEMA, KUHUSU KATIBA MPYA AWAPA ONYO ZITO
Просмотров 87714 часов назад
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Wawili wafariki dunia, 80 waokolewa mafuriko yaliyosababishwa na Hidaya Kilwa
Просмотров 13 тыс.14 часов назад
Watu wawili wamefariki dunia na zaidi ya 80 wameokolewa wilayani Kilwa mkoani Lindi baada ya mvua kubwa kunyesha jana Mei 4, 2024 na kusababisha mafuriko. Mafuriko hayo mbali ya kusababisha vifo, pia yamesomba madaraja na kukata mawasiliano katika eneo la Somanga. Akizungumza leo Jumapili Mei 5,2024, Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji, Mrakibu Msaidizi Joseph Mwasabije amesema, "tumewaokoa watu 80 ...
Kimbunga Hidaya chakata mawasiliano mikoa ya kusini-Dar
Просмотров 10 тыс.19 часов назад
Zaidi ya madaraja manne wilayani Kilwa, mkoani Lindi katika barabara iendayo Dar es Salaam yamesombwa na maji, hivyo kukata mawasiliano kwenye mikoa ya kusini. Hali hiyo inatokana na madhara ya kimbunga Hidaya kilichosababisha mvua kubwa katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo amesema takwimu za juzi Mei 3, na jana Mei 4, 2024 zinaonyesha kuwapo mvua kubwa ziliz...
Mandonga amuita Harmonize ulingoni wazichape, amfananisha na Sungura
Просмотров 3142 часа назад
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawa...
Basi la Dar-Mtwara lanusurika kusombwa na maji Kilwa
Просмотров 10 тыс.2 часа назад
Basi la Kampuni ya King Yasin lililokuwa likitokea Dar es Salam kuelekea mkoani Mtwara limenusurika kusombwa na maji katika eneo la Somanga wilayani Kilwa leo Jumamosi Mei 4, 2024 kutokana na maji mengi yanayoendelea kupita juu ya barabara. Hata hivyo, abiria waliokuwa wakisafiri na basi hilo wamefanikiwa kushuka na kuvuka upande wa pili.
Ridhiwani Kikwete awaonya watumishi kuacha kuhudumia vibaya wenzao, "Acheni roho mbaya wakati.....
Просмотров 1772 часа назад
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Dalili za kimbunga ukiwa baharini, mvuvi asimulia yaliyomkuta
Просмотров 7 тыс.2 часа назад
Dalili za kimbunga ukiwa baharini, mvuvi asimulia yaliyomkuta Mikoa ya ukanda wa pwani ya Bahari ya Hindi kwa saa 24 sasa, ipo kwenye kufuatilia kuhusu mwenendo wa Kimbunga Hidaya. Mwananchi imezungumza na mvuvi Ali Ramadhani (70) mkazi wa Tanga ambaye anaeleza amefanya shughuli za uvuvi tangu akiwa na miaka minane na baba yake mzazi mpaka leo hii. Anaeleza kuwa alishawahi kukutana na kimbunga ...
Wakulima wa karanga Katavi waiangukia Serikali kuwatafutia masoko, Wasimulia vishoka wanavyowaumiza
Просмотров 1552 часа назад
Wakulima wa Zao la Karanga Manispaa ya mpanda Mkoa wa Katavi wameiangukia serikali kuwatafutia masoko ili waweze kunufaika na zao hilo. Wamesema wamekuwa ukosefu wa masoko umekuwa ukiwalazimu kuuzwa kwa bei ndogo isiyolingana na gharama kubwa wanayoitumia kwenye kilimo. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi Mei 4,2024 wamesema uhaba wa wanunuzi na kukithiri kwa vishoka wa ununuzi wa za...
Hospitali ya Bugando kukusanya Sh1 bilioni za matibabu ya saratani kwa watoto
Просмотров 1382 часа назад
Mwanza. Hospitali ya Rufaa Kanda ya Bugando (BMC) inatarajia kukusanya zaidi ya Sh1 bilioni kwa ajili ya kuwezesha matibabu ya saratani kwa watoto 500. Akizungumza leo Mei 4, 2024 wakati wa uzinduzi wa mbio za Bugando Health Marathon 2024 zinazolenga kuchangisha fedha kwa ajili ya kuwezesha matibabu hayo, Daktari bingwa mbobezi wa magonjwa ya saratani ya watoto, Heronima Kashaigili amesema mbal...
Dodoma yaanza maandalizi ya michezo ya Afcon 2027
Просмотров 582 часа назад
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema wameanza maandalizi ya kuwa na miundombinu kwa ajili ya michezo ya Afcon 2027 licha ya michuano hiyo kutajwa kuwa itachezwa Dar es Salaam na Arusha pekee kwa upande wa Tanzania. Senyamule amesema hayo aliposhiriki ufunguzi wa Duwasa Michezo Day leo Jumamosi, Mei 4, 2024 jijini Dodoma. Senyamule ameeleza kuwa tayari ameshaanza vikao na Benki Kuu...
Wanaomaliza mafunzo JKT waomba serikali kuwatafutia ajira
Просмотров 5612 часа назад
Vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi kutoka kikosi cha 835 Mgambo JKT cha wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga,wameuomba uongozi wa jeshi kwa kushirikiana na serikali,kuangalia uwezekano wa kuwapatia ajira wanapohitimu mafunzo yao. Ombi hilo wamelitoa kwenye sherehe za mahafali yao ya kuhitimu mafunzo ya miezi minne,katika kikosi cha 835 JKT Mgambo iliyofanyika na kusema kuwa wengi wao,wanapohitimu...
Hatari! Kimbunga HIDAYA kilivyoipiga Mafia, Miti mkubwa, mikorosho yaangushwa
Просмотров 36 тыс.2 часа назад
Wananchi wa Kisiwa cha Mafia ni miongoni waliopatwa na majanga ya Kimbunga Hidaya kilichotikisa kuanzia jana usiku na kudumu kwa saa kadhaa hadi leo Jumamosi, Mei 4, 2024. Upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa umesababisha mafuriko, miti mikubwa ikiwamo mikorosho na minazi kudondoka kwenye makazi ya watu usiku wa manani. Tazama hali ilivyokuwa kwenye baadhi ya maeneo kisiwani Mafia.
Mvua kubwa yasababisha Mafuriko Moshi, nyumba zazingirwa maji
Просмотров 8 тыс.2 часа назад
Mvua kubwa yasababisha Mafuriko Moshi, nyumba zazingirwa maji
Kisa kimbunga HIDAYA Usafiri wa boti Dar - Z’bar, vivuko vyasitishwa, TMA yatoa taarifa
Просмотров 15 тыс.2 часа назад
Kisa kimbunga HIDAYA Usafiri wa boti Dar - Z’bar, vivuko vyasitishwa, TMA yatoa taarifa
Matukio ya ubakaji yazidi kutikisa Mwanza, Wanafunzi 534 wapatiwa ujauzito ndani ya miaka 2
Просмотров 2162 часа назад
Matukio ya ubakaji yazidi kutikisa Mwanza, Wanafunzi 534 wapatiwa ujauzito ndani ya miaka 2
Wanahabari wacharuka wataka vitendo siyo maneno yanayoleta matumaini
Просмотров 1754 часа назад
Wanahabari wacharuka wataka vitendo siyo maneno yanayoleta matumaini
Hashim Ibwe baada ya kuichakaza Namungo: Wanasafiria nyota yetu, afunguka usajili wa Kibu Denis
Просмотров 6364 часа назад
Hashim Ibwe baada ya kuichakaza Namungo: Wanasafiria nyota yetu, afunguka usajili wa Kibu Denis
Wavuvi Tanga wasitisha kuvua usiku huu wakihofia kimbunga Hidaya
Просмотров 4864 часа назад
Wavuvi Tanga wasitisha kuvua usiku huu wakihofia kimbunga Hidaya
Ahmed Ally atoa kauli nzito kuhusu Kibu Denis: Watu wamemlisha maneno ..., mkataba unaisha msimu huu
Просмотров 5824 часа назад
Ahmed Ally atoa kauli nzito kuhusu Kibu Denis: Watu wamemlisha maneno ..., mkataba unaisha msimu huu
Dakika 35 za Bashe bungeni, Madiwani wa CCM, maofisa ushirika watatu waswekwa ndani Tabora
Просмотров 10 тыс.4 часа назад
Dakika 35 za Bashe bungeni, Madiwani wa CCM, maofisa ushirika watatu waswekwa ndani Tabora
Mashabiki Simba wakasirika kauli za GB 64, wataka awataje viongozi, Mgunda apewa maua yake
Просмотров 7424 часа назад
Mashabiki Simba wakasirika kauli za GB 64, wataka awataje viongozi, Mgunda apewa maua yake
ALIYEKAA NA UVIMBE KILO TANO TUMBONI MIAKA 10 ASIMULIA MAZITO, WATAALAMU WAFUNGUKA....
Просмотров 1544 часа назад
ALIYEKAA NA UVIMBE KILO TANO TUMBONI MIAKA 10 ASIMULIA MAZITO, WATAALAMU WAFUNGUKA....
Shabiki Yanga atamba kutoa 300 Milioni kumsajili Kibu Denis , yule ni Neymar mtupu, Simba wanahaha
Просмотров 1274 часа назад
Shabiki Yanga atamba kutoa 300 Milioni kumsajili Kibu Denis , yule ni Neymar mtupu, Simba wanahaha
Mgunda asema bado ubingwa wanautaka, haijaisha hadi iishe kabisa | Katwila asema bado mechi 6 ...
Просмотров 1034 часа назад
Mgunda asema bado ubingwa wanautaka, haijaisha hadi iishe kabisa | Katwila asema bado mechi 6 ...
Pasi Milioni amkataa Benchikha ampaisha Mgunda, hii ndo Simba, ona tume 'Enjoy' boli linatembea
Просмотров 3524 часа назад
Pasi Milioni amkataa Benchikha ampaisha Mgunda, hii ndo Simba, ona tume 'Enjoy' boli linatembea
Ndakidemi: Kilo moja ya kahawa Tanzania elfu tatu, ughaibuni milioni moja
Просмотров 3454 часа назад
Ndakidemi: Kilo moja ya kahawa Tanzania elfu tatu, ughaibuni milioni moja
Rais Samia aagiza kampeni ya msaada wa kisheria ifike nchi nzima
Просмотров 1004 часа назад
Rais Samia aagiza kampeni ya msaada wa kisheria ifike nchi nzima

Комментарии

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 34 минуты назад

    MUUNGANO BAADA MAUWAJI YA WAISLAM WA WAZANZIBARI Baba wa Kanisa Rais Nyerere alimlazimisha na kumtisha Rais Karume kwa jeshi la Tanganyika akubali Muungano kwa SIRI😂 Ingawa wote Nyerere na Karume hawakuzaliwa Zanzibar na wala Wazanzibari hawakushauriwa😂 Mara tu baada ya Rais Karume kuuliwa, Muungano unalindwa kwa kuwauwa Waislam wa Zanzibar kama alivyofanya Nyerere kunufaisha Kanisa.✝️ Ndio sababu kwa nini Muungano haujafa tafauti na Miungano ya Afrika Magharibi. Haikuanza kwa kulazimisha na Mauwaji, bali Ustaarabu na Marithiaano🤝

  • @deboniapeterkipake7391
    @deboniapeterkipake7391 3 часа назад

    Pekeji yake Iko Zanzibar tu + nauli , bara ni ahadi tu.

  • @MasalaKilulu
    @MasalaKilulu 5 часов назад

    Xxxx

  • @petermangama330
    @petermangama330 6 часов назад

    Shida mnaabudu sana material nyie Wapare!

  • @TiraleIlunga
    @TiraleIlunga 7 часов назад

    😂ni vema😅😅😅😅😅

  • @rwakyenderajulius3861
    @rwakyenderajulius3861 7 часов назад

    H Hakika umedhamilia uungwe mkono.

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 7 часов назад

    Haya ni maji ya mvua siyo mafuliko

  • @sikujuachonya
    @sikujuachonya 7 часов назад

    Mungu Tusaidie Wana wako twafwaa!!

  • @KhadijaYohana
    @KhadijaYohana 8 часов назад

    He sijui ifakara sehemu gani hii mwenzi mungu wa saidie

  • @christinalawrence7493
    @christinalawrence7493 8 часов назад

    Hongereni sana na Mungu awape moyo wa kusaidia wengi zaido

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 8 часов назад

    Kukumbuka ulionyeshwa basitola mgano feki sisi tukopamoja na lisu utategea wewe

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 8 часов назад

    Nape hunashule wewe ndoo unaangamiza tanganyika

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 8 часов назад

    Nape wewe ni mnafiki ndomaana magu alikupiga chini sisi tunanyonya na wa zanzibrali

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 8 часов назад

    Magu alisema wanaume bondeni

  • @esthereliufoo
    @esthereliufoo 9 часов назад

    Hapo ni Somanga jmn.. Gari hazitoki kusini wala hazingii kutoka Daresalam.. Wananchi tunapata tabu.. Imagine watu walitoka Masasi tangu jana hawajafika wanakokwenda, wanaishije, mfano leo watu walikua wanakuja mikoa ya kuisini imebidi waishie hapo warudi tena Dar

  • @Hussein.208
    @Hussein.208 9 часов назад

    Subhana Allah Poleni sana Allah atufanyie wepesi

  • @goodhopeboys
    @goodhopeboys 9 часов назад

    Kateni BIMA ya biashara😊

  • @MosesEmanuel-fs3lc
    @MosesEmanuel-fs3lc 9 часов назад

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mandileykiritokangai3042
    @mandileykiritokangai3042 9 часов назад

    Wow nice god bless you brother

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 9 часов назад

    Kama mto Rumemo ume zidiwa uka tema Mtaro uta peleka maji wapi

  • @creopatrajoshua
    @creopatrajoshua 9 часов назад

    jamani samahan naomba kueleweshwa hapo aliposema vyuo vya kilimo vitafutwa kwaiyo corz ya agriculture ndo haitakuwepo tena?

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 9 часов назад

    Bwana turehemuu tusamehe tena na watu wetu ujuae turehemuu watanzania hatuwezi yooooooo Shama

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 9 часов назад

    Poleni sana

  • @LuganoMwatujobe
    @LuganoMwatujobe 9 часов назад

    Poleni Sana watu wa morogoro kwa mafuriko hayo mungu awasaidie

  • @cristinajeremiah2450
    @cristinajeremiah2450 9 часов назад

    Bwana Yesu tunakuomba uturehemu, utuponye na mabaya yote

  • @uvumistanlaus5816
    @uvumistanlaus5816 10 часов назад

    Poleni sana Mungu awanusulu

  • @ShahidaMbaraka
    @ShahidaMbaraka 10 часов назад

    Poleni sana ndugu zet

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 10 часов назад

    Dah

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 10 часов назад

    Kila aliyetoa Abarikiwe sana!!!!

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 10 часов назад

    Safari hii urudi bungen

  • @user-jr4cb7ej6f
    @user-jr4cb7ej6f 11 часов назад

    Poleni sana ndugu zetu mahana uko ali Ni mbaya sana

  • @saidngunde
    @saidngunde 11 часов назад

    uyu nape ni chizi sio mzima hajitam ui huyu no mbunge wa jimboni kwangu Ila nimpuuzi sipendi hata kumuona

  • @NGINDA99
    @NGINDA99 11 часов назад

    KWELI ASANTE YA PUNDA NI MATEKE BAADA YA MHE TUNDU LISU KUISHI UHAMISHONI ALIYEMTETEA NI RAIS MAMA SULUHU HASSAN HATA AKAMWEZESHA TUNDU LISU ALEJEE NYUMBANI TANZANIA HATA AKALIPWA PESA ZAKE ZOTE SASA ANAMWITA RAIS MAMA SULUHU HASSAN ETI YEYE NI RAIS MZANZIBARI BINADAMU HUSAHAU HARAKA.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 11 часов назад

    Tunataka soko la uhakika la mahindi

  • @ezekielnyamika9536
    @ezekielnyamika9536 11 часов назад

    Kwani Zanzibar wanasemaje kuhusu muunangano?

  • @J.C.MMwambaOG
    @J.C.MMwambaOG 11 часов назад

    Pole

  • @J.C.MMwambaOG
    @J.C.MMwambaOG 11 часов назад

    Poleni sana 😂😂😂😂😂

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 11 часов назад

    Tuluki wanachinja kilasiku ng,mbe watoa kafara haya Mambo ayakuwepo kweti lazima watuote tujue YESU NI MUNGU

  • @osiahmwakasala1646
    @osiahmwakasala1646 12 часов назад

    Tukipata mawaziri kama hawa ninauhakika baada ya miaka kumi tu nchi hii haitakopa itakopesha. Asante mweshimiwa Mungu akulinde na ufanikiwe katika mipango yako yote amina

  • @emmanuelmichael7856
    @emmanuelmichael7856 12 часов назад

    Hakuna uongozi wa Serikali bila nguvu za maksudi kwa faida ya taifa na wananchi wake

  • @subralugege7019
    @subralugege7019 12 часов назад

    Poleni jamni 😭😭😭

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 12 часов назад

    Ukiangalia kiundan katiba haiko sw kiupande fulan inaendelea mfano kununua ardh Zanzbar huruhusiwi kweli kwa mjibu wa sheria zanzibar

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy 12 часов назад

    One love Lisu.Wahamshe wengi Usingizi Sana

  • @user-ov4nn2ug6z
    @user-ov4nn2ug6z 13 часов назад

    Mapema ipi unayo itaka wewe au una taka ukafe, bongo bwana 😂😂

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 13 часов назад

    Uko pwani ndo chumbuko la dhambi lazima wapigwe bado arusha

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 13 часов назад

    Mimi nimemuelewa sana lisu sip wewe nepe

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 13 часов назад

    Mungu akubariki sana Prof. Janabi. Nimebadili mfumo wangu wa maisha. No soda, no wali, no ugali. No ngano, no Juice. Nimeona mabadiliko makubwa ktk maisha yangu Mungu ATUSAIDIE.

  • @antonymomba8185
    @antonymomba8185 13 часов назад

    Lisu anatosha

  • @MakoleMakoye
    @MakoleMakoye 14 часов назад

    Barabara zote zipandwe miti ili kuongeza mvuto wa jiji

  • @securityatkizikula
    @securityatkizikula 14 часов назад

    Tutawakemea ccm na viongozi wezi na wabovu watokao ndani Yake mliokalia katiba.